Nandy , Hamisa Jukwaa Moja na Davido Sikukuu Hii.

Kwa mara ya kwanza wanadada wawil Nandy naRuby wamepangwa kuwa katika jukwaa moja la  sikukuu ya Eid, mabapo kutakuwa na msanii mkubwa kutoka Nigeria anaefanya vizuri ndani na nje  nchi yake na Dunia nzima kwa ujumla.

Wadada hao ambao waliwahi kusemekana kuwa wana bifu na kuoneana wivu muda mwingi kutokana na ukweli kuwa  wote wana sauti na vipaji vikubwa wanatarajiwa kuwa konga nyoyo za  mashabiki na kwa mara ya kwanza watawathibitishia mashabiki kuwa wapo vizuri.

 

 

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.