Nedy music Atamani Mtoto

Baada ya kushinda Tuzo Kutoka nchini Ghana msanii Nedy Music sasa ametangaza kilio chake kuwa mwaka huu anahitaji kupata mtoto ingawa wa kuzaa nae hajamjua.

Akiwa kwenye mahojiano Nedy Music maarufu kwa sasa kama mpemba mmoja amesema “Natamani kupata mtoto mwaka huu na kabla ya mwezi wa 12 ila bado sijapata mama wa huyo mtoto natamani nimpate kipindi hichi”

Aidha Nedy amekuwa mtu ambaye hapendi kuweka mahusiano yake hadharani japo huko nyuma alishakuwa na tetesi za kutoka na binti mmoja mwenye pesa zake ni mtazania ambaye anaishi Dubai.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.