Ni bora Nikose Vyote Lakini Sio Wewe Mwanangu’ Rayvanny kwa mwanaye JayDanny

Msanii Rayvanny ambaye sasa ni baba,amemwandikia ujumbe mwanaye JayDanny.

Kupitia Instagram yake Ray anasema,’Mungu Akukukuze Mwanangu, Katika Mema na Mafanikio Katika Maisha Yako.Wewe Nifuraha Yangu Na pia Wewe Ndio sababu Ya Mimi kumwaga Jasho Nakufanya Kazi kwa Bidii Kila Siku. Ni bora Nikose Vyote Lakini Sio Wewe Mwanangu. I LOVE YOU SON @jaydanvanny ‘

Wakati huo huo mtoto Jay amekaribishwa rasmi kwenye Kundi la Wasafi na Diamond Platnumz,’Nikubalieni kumtambulisha rasmi star wetu mpya JayDanny,Mwana wa Ray Vanny. Karibu ulimwenguni!’

 

 

‘Allow me to introduce to you our brand new @wcb_wasafi Mega Star! JayDanny!!!! Mwana wa RayVanny!!!!! Welcome to the World Prince!! @jaydanvanny Cc @rayvanny ameandika Diamond.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.