Nilikuwa na Ndoto Ya Kuwa Mwanasheria- Gigy Money

Video vixen na Msanii wa muziki wa Bongo fleva Gift Stanford maarufu Kama Gigy Money ameibuka na kudai mbali ya kufanya muziki Lakini Ndoto Yake kubwa ilikuwa kuwa mwanasheria.

Gigy Money ameibuka na kudai kuwa alipokuwa mdogo alikuwa ana Ndoto kila siku za kuja kuwa mwanasheria na sio mwanamuziki kama alivyo Hivi sasa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Dimba, Gigy Money amesema kuwa alikua akipenda fani hiyo tangu akiwa mdogo kutokana na kuwa na uwezo wa kumsimamia mtu katika ukweli bila kuyumbishwa.

Nilikua napenda sana sheria, sema sikusoma sana na niliishia kidato cha pili lakini ndoto yangu kubwa ilikua kuja kuwasimamia watu kupata haki zao, mambo ya muziki nimeyavamia tu“.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.