“Nimepitia Kipindi Kigumu Sana” Maua Sama Afunguka Baada Ya Kuachiwa Huru

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na kibao chake cha ‘Iokote’ Maua Sama amefunguka kwa mara ya kwanza tangu aachiwe huru kwa dhamana na jeshi la polisi.

Maua Sama na Mtangazaji wa Clouds Media Soudy Brown walitiwa mbaroni wiki iliyopita baada ya kuchapisha Kwenye mitandao ya kijamii maudhui ya watu wakicheza na kukanyaga pesa.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Maua Sama amefunguka na kueleza jinsi alivyopitia kipindi kigumu katika siku 10 ambazo alikuwa chini ya ulinzi:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.