Ningekuwa Diamond , Ningemuoa Zari ;-Gigy

Mwanadada Gigy money ameamua kutao yake ya moyoni kwa kusema kuwa kama yeye ndio angekuwa msanii Diamond platinumz basi wala asingehangaika na wanawake wengine bali angeamua kumuoa Zari kwa sababu ni mwanamke mwenye hela na anajitambua.

Gigy anaonekana kupingana kabisa wa watu kwenye mitandao ya kijamii wanaokaa kutwa wakimsema vibaya mwanamama Zari kuwa amezeeka na ni mkubwa kwa Diampond bila kuangalia umuhimu wa maisha yake kwa msanii huyo.

Gigy anasema kuwa anshangaa kumuona Diamond akiangaika na wanawake wakati Zari alikuwa mwanamke mwenye hela na kama wanegoana wote wangekuwa na pesa na wala wasingesumbuka na kitu chochote kile.

Hat hivyo bado Gigy haonekani kumchukia tanasha kwa sababu amemsifia na kusema kuwa hata yeye alipomuoana siku ya kwanza alimshangaa kwa uzuri aliokuwa nao.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.