Ninogeshe ya Nandy Yamfunika Ommy Dimpoz

Msanii wa kike Nandy ambae anatamba na wimbo wake wa Ninogeshe amkalisha chini msanii mkongwe pia Ommy Dimpoz na wimbo wake wa Yanje ambao pia ulitoka siku chache zilizopita,  nyimbo hizo ambazo zote zinaonekana kuwa zinazopendwa sana  na watu tangu zimetoka zimekuwa zikibadilishana nafasi kwa muda mrefu na sasa nandy amemkalisha ommy kwa nafasi moja.

Siku chache za nyuma msanii ommy dimpoz alisema kuwa hawezi kuangaika kufanya kiki ya kitu chochite ili kuweza kuifanua nyimbo yake ifanye vizuri, zaidi sana anaamini kuwa nyimbo zake za mwanzo zilishamtengenezea jina kubwa la kuweza kutoa wimbo wowote ili kuweza kuhit.

Nandy anakuwa moja y wasanii wa kike wanaofanya vizuri sasa katika muziki na kuwakalisha kina dada wengine wengi kutokana na kipaji chake ambacho amekuwa akikitendea haki.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.