Nisha Aamisha Majeshi Yake kwa Mzungu.

Msanii wa bongo movie Nisha amefunguka na kusema kwa sasa ameamua kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mzungu na sio waafrika tena na vibenten kama hapo awali  na kusema kuwa kwa sasa mapenzi yake yatakuwa na wanaume  waliomzidi umri yaani babu kwa sababu amechka maswala ya kuibiwa mabwana kila siku.

Katika ukurasa wake wa instagram, nisha ameweka picha na kuelezea kuwa amechoshwa sana na kuwa mhangawa mapenzi kila siku lakini anaamini hapo atakuwa salama na hatoibiwa wala kushalilishwa kwa matuzi kama alivyokuwa akifanyiwa na vijana wadogo.

ni vigumu sana kuficha hisia zangu kwa mtu ninayempenda, nimeshwahi kuwa na m-black, mwarabu,ila kote niliambulia usaliti na uongo katika mapenzi.niliwahi kusikia wazungu wana mapenzi ya kweli kuliko waafrika na kujaribu sio mbaya.

Mimi msafiri sijafika bado na mwenyezi mungu ndio anaejua kama hapa ndio mwisho wa safari yangu au bado ninaendelea,kikubwa nimeshampata na maneno sijali.

Hapo awali nsiha alikuwa akilizwa sana na mapenzi kutokana na kuibiwa na wanaume kila siku na wengi wao walikuwa ni wanaume aliowazidi umri ‘kibenten’ hivyo kwa maoni yake anaona sasa hivi atatulia.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.