Otile Brown Akiri Kulikumbuka Penzi La Vera

Msanii wa muziki anayefanya vizuri nchini Kenya Otile Brown amefunguka na kukiri kumiss aliyekuwa mpenzi wake Socialite Maarufu Vera Sidika.

Otile alifunguka hayo Siku chache zilizopita ilipokuwa kumbu kumbu ya kuzaliwa kwa Vera Sidika.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Otile amemposti Vera na kumuandikia maneno mengi matamu huku akikiri kuwa Vera mkarimu na mtu mzuri na kuna wakati anakuwa anamkumbuka sana.

https://www.instagram.com/p/BoWPmfKny-T/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=buv5q7dlscik

 

Vera Sidika yupo Dubai ambako anakula  bata la Birthday yake hivyo hajamjibu Ex wake huyo.

Vera na Otile Brown waliachana mapema mwezi uliopita baada ya kuwa Kwenye Mahusiano kwa Miezi kadhaa huku kila mmoja akimtuhumu mwenzake kama kuwa chanzo cha kuisha kwa Penzi lao.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.