P-Square Aikubali Kwangaru ya Harmonize

Msanii mkubwa, mkongwe na mkali kutoka nchini Nigeria P-SQUARE,  amefunguka na kusema kuwa katika nyimbo bora anazozikubali sana kutoka nchini Tanzania ni ule wa kwangaru kutoka hapa nchini wa Harmonize na Diamond.

Akiongea katika moja ya mahojiano yake,p-square alisema  kuwa wimbo huo mabao ulipata headline zaka katika vyombo vingi vyahabari umekuwa moja ya nyimbo zake anazozikubali sana kutoka nchini.

Wimbo wa Kwangaru, ni moja ya nyimbo kutoka lebo ya wcb ambao umefanya vizuri sana kwa mwaka huu kwa vyobo vya ndani na nje ya nchi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.