Picha ya Kimnana Yazua Gumzo Mitandaoni

Mwanadada aliye-trend sana hapa karibuni kwa sababu ya kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamuziki mkubwa bongo na nje ya nchi Diamond Platinumz ameacha gumzo katika mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha katika ukurasa wake wa instagram ikiwa tofauti na ile iliyopostiwa katika ukurasa wa designer wa nguo aliyokuwa ameiaa akiitangaza.

Wasanii wengi wa kike bongo wamekuwa wakisemwa kuwa wanatabia ya ku-edit picha zao na kuongeza maumbo au kubaidlisha rangi ba baadhi ya sehemu katika miili yao na hii inazidi kudhiirika kwa mwanadada huyo ambapo pivha hizo mbili zinaonekana ziko tofauti sana na kile kinachoonekana kuwa na ukweli .

Picha hiyo imezua guzo katika mitandao ya kijamii huku kila shabiki alihoji kwanini picha hzio zimekuwa na utofauti sana.

Picha moja ya kimnana yenye utofauti  wa muonekano.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.