Pretty kindy Atamani Kuolewa na Diamond.

Mwanadada muigizaji na mwanamuziki kutoka bongo  Pretty Kindy anaonyesha kiu yake kubwa ya kutaka kuolewa na diamond platinumz kama ambavyo ikuwa ikisikika katika mitandao kwamba mwanadada huyo yuko mbion kumkwapua Diamond kwa wanawake alionao sasa hivi.

pretty kindy amesema kuwa hakuna mwanamke  atakae kataa hata siku moja kuolewa na msanii diamond kwa sababu hiyo nikama bahati kwa baadhi ya wasichana mabao hawajaolewa.akijibu swala aliloulizwa na mwandishi wa habari kama yuko tayari kuolewa na Diamond , Pretty Kindy alijibu

kwa mfano unaktaa aje kwanza,kwa mfano ungekuwa wewe ndio mwanamke ungekataa kweli au, haiwezekani kuwa sio chaguo langu.

Kwa muda sasa imekuwa ikisikika mwanadada huyo akisema kuwa anatamani sana kuwa karibu na kutoka kimapenzi na msanii Diamond Platinumz.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.