Profesa Jay Afunguka Tetesi za Kuacha Muziki

Msanii Joseph haule amefunguka na kusema kuwa kamwe hatoacha muziki kwa sababu muziki ndio uliomfanya kujulikana na mashabiki zake wa miukumi na kumpeleka bungeni, hivyo kuacha muziki ni kama kuwasaliti wananchi wake waliomwamini kupiyia muziki huo..

Joseph Haule kwa jina maarufu Profesa Jay ni wasanii wa kwanza mbao sasa hivi ni wakongwe katika sanaa, lakini pamoja na kwamba aliamua kujiingiza katika siasa, anasema kuwa kazi ya muziki ndio iliyomfanya kujuliakna tanzania na kot ulimwenguni na inawezekana kama sio muziki basi hasingeweza kuwa mbunge wala kujuana na wananchi wa mikumi.

pagamisa ni kazi nzuri ambayo imepokelwa vizuri tu na mashabiki wangu,miaka yote ya muziki wangu nitaendelea kutoa kazi nzuri za muziki wangu  na kamwe siwezi kuacha kazi ya muziki kwa sababu ya kufanya hivyo ni kama kuwasaliti wananchi ambao wamenipeleka mjengoni kupitia muziki huu ambao naufanya.-Alisema Profesa Jay ambae alikuwa studio kutambulishwa wimbo wake mpya.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.