Queen Darleen Amwaga Povu Kuhusu Mavazi Yake Ya Ajabu

Mwanamuziki kutoka katika label ya WCB na Dada wa Staa wa Diamond Platnumz, Queen Darleen ameibuka na kuwamwagia Povu zito mashabiki ambao wamekuwa wakikosoa mavazi yake.

Queen Darleen amefunguka na kusema nguo anazovaa za kimitego zinazoacha sehemu kubwa ya mwili wake hazina madhara kwake na kwa mpen­zi wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Darleen Risasi Jumamosi kuwa, mara nyingi anaona watu wanamse­ma kuhusu nguo anazovaa, lakini hawajui kwamba yeye kama mwanamuz­iki ndizo nguo anazo­paswa kuvaa.

Kinach­onishangaza ukivaa kibukta, utasikia watu wanakusema umekaa uchi, sasa sijui wa­nataka nikiwa ninapanda stejini nivae khanga? Maana hata huyo mpenzi wangu haongei chochote kuhusu mavazi yangu jamani”.

Kwa muda mrefu sasa Queen Darleen amekuwa akikosolewa sana na mashabiki zake kutokana na mavazi yake ya kimtego ambayo amekuwa akivaa na kujianika kwenye mitandao ya kijamii.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.