Rammy Awajibu Wanaomwambia Anaringa

Msanii wa bongo movie Rammy Galis amefunguka baada ya kuulizwa kuhusu baadhi ya wasanii wenzake na mshabiki wake pia kumwambia kuwa ana ringa sana na pia amekuwa ni moja kati ya wasanii wenye dharau sana kwa watu.

Rammy Galis anajitetea na kusema kuwa hakuna kitu kamma hicho ingawa hata yeye alishawahi kusikia watu wakimuongelea hivyo lakini ukweli ni kwamba labda kutokana na muonekano wake na pia kutokana na tabia yake ya kukaa kimya sana ndio maana watu wanakuwa wanampa hizo tuhuma.

mara nyingi sana nimekuwa nikisikai watu wakisema kuwa eti mimi nalinga  au nina dharau sana kitendo ambacho kina nikera sana , kwa sababu mimi sipo hivyo labda ukimya wangu sijui lakini siko hivyo  wanaona nina kaa kimya ndivyo nilivyo.-Alisema rammy aliokuwa akiongea na GPL

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.