Rammy Galis Alamba Shavu Nono

Muigizaji wa Bongo movie Rammy Galis amejikuta analamba Shavu nono baada ya kukabidhiwa ubalozi wa maduka ya City Mall na City Mall Cinema yaliyopo Mnazi mmoja jijini Dar Es Salaam.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Rammy amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kupata nafasi hiyo kwani kwa upande wake inaweza kumtoa sehemu moja kwenda nyingine, jambo ambalo alikuwa akilitamani.

Ndoto yangu kubwa ilikuwa ni hiyo, lakini pia nafurahi filamu yangu niliyoigiza na marehemu Masogange (Agness Gerald) itaanza kuoneshwa kwenye ukumbi huo wa sinema wakati ninaizindua”.

Miezi michache baada ya Kifo Cha Agnes Masogange ambaye alikuwa mpenzi wake Rammy alitangaza kutoa Movie yao waliyofanya kwa pamoja kabla ya Kifo chake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.