Ray c Amganda Kooni Hamisa Mobeto.

Mwanadada Ray c amezidi kuonyesha kumchukia msanii mwenzake Hamisa Mobeto kutokana na kuwa anamponda na kumkebehi hasa baada ya  Hamisa Mobeto kutoa wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la madam hero ambao umeanza kusikia sehemu mbalimbali.

Katika ukurasa wake wa instagram, Ray c aliandika cooment ambayo likuwa haina jina la aliyemlenga lakini inavyoonekana ni kama alimlenga Hamisa kwa sababu ni siku hiyo ndio wimbo ulikuwa umeanza kusambaa lakini pia kutokana na historia kuwa mwanadada huyo amekuwa akirusha mabomu kwa mwanadada mwenzake.

Ray c aliandika “MNAHARIBU MAANA NZIMA YA BONGO FLAVA, ACHENI UTANI NA KAZI ZA WATU, SIO LAZIMA KILA MTU AIMBE ITS A BULLSHITS’

Mara nyingine nyingi Ray c amekuwa akiweka posts ambazo zinahashilia kumponda hamisa , mfano aliwahi kumponda kwa kumkebehi sana kuhusu duka lake la nguo na fashion analomiliki Hamisa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.