Rich Mavoko Atoboa Ya Kuandika Nyimbo za Wasanii wa WCB, Akiwemo Queen Darlen

Msanii aliewahi kufanya kazi WCb amefunguka na kusema kuwa kwa muda ambao amekuwa akifanya kazi ndani ya lebo hiyo amekuwa akiandika nyimbo za wasanii wenzake wengi huku nyingine zikiwa tayari zimeshatoka.

rich ambae alitoka WCB hivi karibuni kwa mbinde hasa baada ya kesi yake kufka mpaka katika abarza la sanaa na kusemekana kuwa alikuwa akinyonywa sana na mabosi wake anasema kuwa moja ya nyimbo hizo ni ile ya queen Darleen ya  Touch.

Rich anasema kuwa zipo nyingi zikiwemo zilizotoka na ambazo hazijatoka lakini alikuwa akifanya kazi hiyo kwa muda mrefu mpaka sasa anaondoka.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.