Romy Aongelea Kutochezwa kwa Nyimbo za Rich Mavoko Wasafi Tv

Dj maarufu wa msanii mkuwa diamond platinumz amefunguka na kuongeea swala la Wasafi Tv kutocheza nyimb za msanii rich mavoko ambae hapo awali alikuwa msanii wa lebel hiyo lakini kwa sasa wametengana baada ya kupelekana BASATA.

Rommy anasema kuwa hakuna ubaguzi wa wasanii katika tv yao lakini labda tu mzunguko wake haujafika na kama ukifika bas nyimboi zake zitachezwa kwa sababu kama zimekuwa zikipigwa za Alikiba na Ommy kwa nini sio zake.

sidhani kama kuna shida , kwa sababu tumepiga za Alikiba, na ommy dimpoz kwanini tusicheze za Rich mavoko ukiona haijachezwa basi ujue mzunguko wake haujafika tu.mzunguko wake ukifika itachezwa na itabaki kuwa ile ni ya kwetu sote.

Hivyo Rommy anathibitisha kuwa hakuna makatazo yoyote kutoka kwa uongozi wa WCB kuhusu kutopigwa kwa ngoima za Rich mavoko.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.