Ruby amkana Ali Kiba

Hellen George maarufu kama Ruby amefunguka na kuweka wazi uhusiono wake na staa wa Bongofleva Ali Kiba. Uvumi mitendao ulikuwa unasema kuwa Ruby na Ali Kiba ni wapenzi.

Akiongea na Swaggaz, Ruby alisema hana ukaribu wowote na hit make huyo wa ‘Aje’. Mrembo huyo alisema hata hajawahi kuwa na mawasiliano na Kiba.

Ruby

Rubi alipuuza uvumi mitendaoni kuhusi uhusiano wake na Ali Kiba, alisema kuwa watu walishawahi sema yupo karibu sana na Diamond Platnumz .

“Na mimi taarifa hizo nimekuwa nikiziona kama wewe ulivyoziona, sioni jipya kwasababu walishawahi kusema kuwa nipo karibu sana na Diamond, sasa wamegeukia kwa Kiba ambaye hata mawasiliano yake sijawahi kuwa nayo,” Ruby alisema.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.