Sabby Angel Kujiunga na CHADEMA

Mwanadada Sabby Angel ameamua kujiingiza katika siasa huku akisema kuwa uamuzi huo ameuchukua baada ya kuona kuwa kuna jamii kubwa inamuhitaji kuwatumia watu hao.

Akiongea jana alipokuwa anajiunga rasmi na chama cha upinzani cha CHADEMA , Sabby Angel anasema kuwa amejiunga na chama ichi huku kazi yake kubwa sasa ni kuhamasisha na kuwafumbua wanawake kuhusu haki zao.Akiongea na waandishi wa habari, Sabby alisema

Nimejiunga rasmi na Chadema Nitakuwepo kwenye sector ya BAWACHA(Baraza La Wanawake CHADEMA) na kushiriki kutoa seminars wanavyama wanawake kuhusu Haki za kina mama na kadhalika. Nimejiingiza kwenye siasa Rasmi Nina matarajio ya kupigania Viti maalum huko mbeleni,Kazi za Usanii nitaendelea Nazo Kama kawaida. Pia natokea kwenye Familia ya Wanasiasa kuanzia bibi, wajomba hata mama,japo tuko vyama tofauti” amesema Sabby na kuongeza”I needed a Platform where I can give back to my community Kama kioo cha jamii in a positive manner especially to women and children and Chadema gave me that platform

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.