Shabiki Atuma Maombi kwa WCB

Moja ya mashabiki wa WCB ameamua kuvunja ukimya na kutuma salamu kwa uongozi wa WCB kutokana na malalamiko ya chini chini kuhusu Tv hiyo  na radio yake kuwa mara zote wamekuwa hawataki kufanya mahojiano na wasanii ambao wanachipukia.

Shabiki huyo anasema kuwa mara kadhaa amekuwa akipokea malalamiko kutoka kwa sanii wa chii kuwa wamekuwa wakienda kuomba interview na kukataliwa na kuambiwa kuwa ili waweze kuapta nafasi ni lazima wawe na bifu na msanii mwingine.

Shabiki huyo anaendelea kwa kusema  hata kwenye swala la kuchagua wasanii pia wamekuwa wakifanya mahijiano na wasanii wakubwa wenye majina tayari na interview zimekuwa zikijirudia wakati huku mtaani kuwa wasanii wengi.

Lakini pia wanasema kuwa hii inatasfiriwa vibaya kwa sababu Diamond wakati anafungua Tv na radi hiyo alisema kuwa ni kwa ajili ya wasanii wa aina zote hasa wale wanaohitaji kusikika.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.