Shaddy Boo Amkubali Zaidi Zari Kuliko Hamisa

Mwanadada maarufu katika mitandao ya kijamii Shaddy boo amfunguka na kujibu swali aliloulizwa na moja ya mashabiki zake kuhusu ni nani anaweza kumchagua zaidi kati ya hamisa na zari kama ikitokea akaambiwa achague mmpj wapo.

Mwanadada huyo ambae aliwahi kum-attack Zari alipokuwa na mahusiano na Diamond na hata baadhi ya picha zake kusambaa katika mitandao akiwa na msanii huyo hivyo kuhisiwa kuwa mwanadada huyo anaweza kuwa na mahusiano na Diamond Platinumz.

Alipokuwa akijibu maswali hayo katika uwanja wa snapchat, Shaddy boo anasema zari ni mwanamke bora na mama bora zaidi kuliko Hamisa hivyo siku zote chaguo lake litakuwa kwa zari na sio Hamisa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.