shilawadu Kuanza ndani ya DSTV

Kile kipindi pendwa cha burudani na umbea kilichokuwa kikiruka katika channel ya clouds tc sasa hivi kitaanza kurushwa katikamchannel 160 y DST kufuatiwa na watangazaji hao kupata mkataba wa kufanya kazi huko

Hii ni hatua kubwa kwa watangazaji wa vipindi vya umbea hasa shilawadu kwa sababu habari za mastaa na wasanii mbalimbali kwa sasa kitaanza kuonekana dunia nzima .

Kipindi icho ambcho kimekuwa na manufaa sana kwa ajamii kwa sasa kwa sababu licha ya kuwa kimekuwa kikiongelea mambo wanayofanya wasanii lakini kwa sasa akimekuwa kikigusa pia maswala mbalimabli ya jamii.

Kipindi icho kitaanza kurushwa siku ya ijumaa ya tarehe 14 december katika channel 160 ya DSTV.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.