Shilole aeleza kwanini hakujaliwa kumzalia mtoto ex wake Nuh Mziwanda

Staa wa Bongo Movies Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameeliza kwanini hakumpa mtoto ex wake Nuh Mziwanda.

Wawili hao, Shilole na Nuh, waliwapa watu sababu ya kuwazungumzia baada ya kuonekana katika mapozi ya kimapenzi.

Soma pia: Hawa watarudiana tu! Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva Shilole apatikana akiwa katika mapozi ya kimapenzi na ex wake

Nuh alimuoa Nawal na ata kuzaa naye mtoto wa kike baadaya ya uhusiano wake na Shilole kuvunjika. Ata hivyo Shilole na Nuh bado ni marafiki.

Alipoulizwa kwanini hakumpa mtoto Nuh kwenye kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni, Shilole alisema kuwa hakujaaliwa tu kupata mtoto kwa uhusiano wake na Nuh. Alisema pia bado yupo single kwa sasa.

Shilole na Nuh Mziwanda

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.