Shilole Awachana Watu Wanao ‘Fake’ Maisha

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amefunguka na kusema kuwa hakuna kitu kinamchukiza kama watu wanaopenda kudanganya kuhusu maisha yao.

Shilole amefunguka hayo kwenye mahojiano na kipindi cha ‘Uhondo’ cha EFM ambapo amewataka watu kuwa wakweli kuhusu maisha yao na sio kudanganya wengine kama wana maisha mazuri wakati ni uongo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shilole ameandika maneno haya:

https://www.instagram.com/p/Btin7GvB5ie/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=x6kg9xerd025

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.