Shiloleh Apata Deal la Kujifunza Kingereza .

Mwanadada shiloleh amepata dili la kusomeshwa na British Council baada ya kuonekana hawezi kuongea kingereza ingawa dhumuni lake kubwa limekuwa ni kutaka kuongea kingereza kila anapofanya interviews.

shiloleh ambae mara nyingi amekuwa akiongea kingereza pamoja na kukosea lakini amekuwa akiongea hivyo hivyo amesaini dili hilo la kujifunza kingerza mpaka pale takapojua kukiongea kabisa kwa udhamini wa taasisi hiyo.

Shiloleh amekuwa moja ya wanawake majasiri na wenye uhamasishaji mkubwa sana katika jamii kila siku kutokana na mambo mengi anayoyafanya yanayowapendeza jamii yake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.