Sifanyi Shoo Mwezi wa Ramadhan;-Tunda Man

Msanii Tunda Man amefunguka na kusema kuwa mwezi huu mtukufu wa ramadhani ni mwezi wa toba na sala hivyo hata siku moja katika mwezi huu hawezi kufanya kazi yoyote ya sanaa kwa sababu muda mwingi anakuwa katika swala.

Tunda Man anasema hiki ndicho kipindi cha kufanya toba na kumrudia Mwenyezi Mungu na pia kumshukuru kwa kila kitu .

Mimi mwezi huu mtukufu huwa naacha kila kitu, hata mtu aje na show ya milioni mia 2 sifanyi shoo, na nina swali sala zote tani ilimradi tu nimtumikie mwenyezi Mungu anisamehe madhambi yote niliyoyafanya.

Hata hivyo Tunda Man anasema kuwa kesi inayomkabili babu tale kwa sasa haimuhusu bali ilitakiwa kuwa ya Abdul Bonge lakini Abdul Bonge hayupo

Ile kesi haimuhusu kabisa Babu Tale , ile kesi ilikuwa ya abdul bonge na Abdul Bonge ni marehemu sasa, kwa kuwa wale ni tip top connection basi ile kesi hata mimi inanihusu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.