Sijaongea na Familia ya Masogange , Sina Ukaribu Nao

Mwanamuziki Belle 9 amefunguka na kusema kuwa hajaongea na famila ya marehemu Masogange kwa sababu hana ukaribu na familia hiyo , lakini anawaza jinsi  kumsaidia mtoto wa marehemu katika maswala ya masomo.

Belle 9 aliongea hayo alipouwa akiongea FNL ya EATV, na kusema kuwa tanfu kumetokea msiba wa mwandada huyo hajapata nafasi kutokana na ukweli kamba hawakuwa karibu na famialia sana kama ilivyokuwa kwa marehemu mwenyewe.

sijapata nafasi ya kuongea chochote kwa sababu hatukuwa na ukaribu mkubwa na watu wa familia yake,kwaio sijapata kuongea kitu na familia  juu ya jinsi ya kumsaidia yule mtoto.

Belle 9 anakiri kuwa aliumizwa sana na msiba wa mwanadada huyo kutokana na ukweli kwamba mafanikio makubwa ya muziki wake yalitokana na masogange aliyenogesha vyema wimbo wake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.