Sister Fay Aamua Kumuanika Mpenzi Wake

Mwanadada Sister Fay ameamua kumuanika mpenzi wake mpya hadharani huku watu wengi wakimsema kutokana na mwanaume huyo kuwa mdogo kiumri kwake,Sister Fay amabe yeye mwenyewe haonekani kuwa na wasiwasi na swala la kumuweka mpenzi wake huyo hadharani anasema kwake ni kawaida sana.

Katika ukurasa wa mwanaume huyo pia aliamua kuweka wazi mahusinao yake na mwanadada huyo huku akisema kuwa mevumilia kuweka siri kwa muda mrefu na ameshindwa kuendelea kuficha siri hiyo.

Mwanaume huyo ambae inasemekana kuwa pia ni msanii ameweka picha katika ukurasa wake wa instagram na kuweka caption hii;-

Na katika ukurasa wa Sister Fay amekuwa akiweka picha na video mbalimbali za kimahaba na kibeniten hicho.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.