Sitaki Ugomvi na Mtu: Nandy

Mwanadada mwenye wimbo uliovuma sana kwa hivi karibuni, Nandy amefunguka na kusema kuwa kuna watu wamekuwa wakimuingilia sana katika mabo yake lakini hapendi kuingi katika bifu na msanii mwenzake yoyote.

Mwanadada huyo ameongea hayo alipokuwa akiongea na Clouds  Tv kuwa yeye sio mtu mwenye asili ya ugomvi hivyo mara zote watu wamekuwa wakimuingilia katika mambo yake na amekuwa akikaa kimya

Mimi siku zote huwa sio mgimvi na mara kwa mara nimekuwa nikijiepousha kuingia katika ugomvi na watu.huwa napuuzia na kuwaonyesha watu kuwa wanachokifanya ni cha kijinga, huwa namuonyesha tu kuwa sifatilii kile anachokifanya au kuwa nimeshtuka na matendo yake.

Hivi karibuni kumekuwa na maneno yanayosambaa kuhusu yeye huku wengine wakimhukumu kutoka kimapenzi na bosi wake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.