Siumii Wala Sichanganyikiwi na Maneno ya Mitandaoni:-Chid Benz

Msanii mkongwe Tanzania Chid Benz amefunguka na kusema kuwa yeye sio mtu wa kuwa anaumia katika mitandao ya kijamii kwa sababu anajua kabisa kuwa mengi yanayoandika kuhusu yeye hayana ukweli woowte hivyo roho yake huwa aina shida na manno hayo.

Huku baadhi ya wasanii wakisema kuwa maneno ya mitandaoni huwavunja moya na hata kuwafanya walie wanapojiona katika mitandao ya kijamii au katika kurasa za udaku za magezeti .

Akiongea na waaandishi wa habari, SIUMII WALA KUCHANGANYIKIWA NA MANENO KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KWA SABABU SIO YA KWELI.”

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.