Sugu Amvisha Pete Ya Uchumba Mpenzi Wake

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip hop nchini na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amemvisha pete ya uchumba Mpenzi Wake wa siku nyingi Happiness.

Tukio hilo lilifanyika Wikiendi iliyopita ambapo pamoja na kwamba wawili hao kuwa pamoja kwa miaka mingi Lakini pia Hivi sasa Happiness ni mjamzito.

Hizi ni baadhi ya picha za Tukio hilo:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.