TANZIA- Mtoto wa Muna na Casto Dickson Afariki Dunia

Mtoto wa msanii na Mfanyabiashara Rose Alphonce Nungu maarufu kama Muna Love na Mtangazaji wa Clouds Tv Casto Dickson aliyekuwa anaitwa Patrick amefariki dunia siku ya jana.

Patrick ambaye alikuwa anaumwa miguu kwa muda  Alizidiwa mwishoni mwa wiki iliyopita na kupelekwa nchini Kenya, Nairobi kwa ajili ya matibabu.

Baada ya kukaa hospitali kwa siku kadhaa usiku wa jana Zamaradi alitangaza kwa Kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa mtoto Patrick aliyekuwa ana miaka saba amefariki dunia.

Mwili wa marehemu unatarajiwa kufika nchini siku ya Alhamisi kwa ajili ya maziko.

Mwenyezi Mungu ailaze mahakama pema peponi Amina.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.