TANZIA”- Rapa Godzilla Afariki Dunia

Rapa bora na maarufu nchini Godzilla ameripotwa kufariki usikuwa kuamkia leo ghafla alipokuwa nyumbani kwao salasala huku bado sababu ya kifo icho ikiwa bado haijajulikana mpaka asubui hii,

Mwili wa Marehemu ulipelekwa kuifadhiwa katika hospitali ya lugalo jijini dar kwa ajili ya kusubiri tarartibu za mazishi pindi familia na wanandugu watakapo kubaliana.

Rapa godzilla anaacha pengo kubwa sana katika muziki wa rap na muziki kwa ujumla Tanzania kutokana na ufanyaji wake kazi na changamoto aliyokuwa akileta kwa wasanii wenzakke,Godzilla aliweza kufanya kazi na wenzake kwa kujituma na kwa upendo akiamini kuwa hiyo ndio njia ya kukuza muziki nchii.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.