Tazama Jinsi Zari Alivyofanya Birthday Party Ya Kifahari Uganda

Zarinah Hassan ‘Zari The Bosslady’ ambaye ni mfanyabiashara maarufu na mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefanya party la kifahari nchini Uganda.

Zari ambaye alisheherekea Birthday yake tarehe 23 Sepetemba lakini aliungana na Familia yake inayoishi nchini Uganda kwa ajili ya Kusheherekea na ndugu zake na marafiki.

Sherehe hiyo iliyofanyika katika hoteli ya kifahari ilihudhuriwa na marafiki na ndugu kadhaa wachache ambapo watu maarufu walikuwa ni pamoja na  Captain Mike Mukula, dada wa Zari, Aly Alibhai na mkewe, Sylvia Wilson Namutebi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.