Tigo Fiesta 2018 Kuanzia Morogoro.

Tamasha kubwa nchi ambalo huwakutanisha wasanii na mashabiki wao kwa ukaribu zaidi wakiwa wengi zaidi la Tigo Fiesta linatarajiwa kuanza hivi karibuni baada ya kuzinduliwa siku ya jana huku mwaka huu wakiamua kuanza na mkoa wa Morogoro.

Tamasha hilo ambalo pia huwa na manufaa na maendeleo katika jamii kutona na kuleta huduma za muhimu karibia kila sehemu wanazopita linangojewa namashabiki kwa hamu kutokana na ukubwa wake lakini pia kwa sababu limekuwa likiwakutanisha wasanii wengi kwa wakati mmoja.

Hata hivyo tamasha hili linatajwa kuwa ndio tamahsa kubwa kuliko matamasha yote Afrika Mashariki .

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.