Times Fm Yaomba Radhi Baada Ya Interview Ya Diamond

Kituo cha redio cha Times Fm imeomba radhi baada ya Interview yao waliofanya na supastaa wa Bongo fleva Diamond Platnumz wiki chache zilizopita.

Baada ya Diamond kuachia albamu yake ya ‘A boy From Tandale’ alienda katika kituo cha Times Fm katika kipindi cha The Playlist kwa ajili ya kufanya mapitio ya Albamu yake mpya.

Kwenye Interview hiyo Diamond aliwatolea povu zito BASATA ambayo ilikuwa imefungia nyimbo zake mbili kwa wakati huo ambazo hakuweza kuzifanyia marejeo.

Siku ya jana Diamond alimaliza bifu lake na BASATA na hata Waziri Harrison Mwakyembe na Naibu Waziri Juliana Shonza na kufungulia nyimbo zake hizo mbili

Barua ya kuomba Radhi kutoka  Times Fm:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.