Tunda Kanizidi Umri tu Sio Kazi:-Bob Junior

Msanii wa bongo fleva wa muda mrefu  Bob Junior amefunguka na kumjibu tunda man kuwa aache kumdharau kwa sababu kati yake na yeye  wanazidiana kwa umri tu na sio kazi kama ambavyo yeye amekuwa akimuita mdogo.

Bob Junior ameyasema hayo alipokuwa akiongea katika kipindi cha EATV,  cha eNews  na kusema kuwa yeye ameanza musiki kwa muda mrefu sana ila wazazi wake walikuwa wakimkata kufanya muziki na kuwa ekuwa akmheshimu sana tunda man kwa sababu ni mkubwa kwake kiumri na wala sio kazi.

Tunda ni kaka yangu na ninamheshimu sana kwa sababu amenizidi umru sana tu, lakini katika kazi naomba tuheshimiana sana mimi so mtoto kama yeye anavyosema kuwa mimi ni mtoto ,mbona nimemfanyia baadhi ya nyimbo zake wakati anaanza na sijasema kitu  sasa nani mdogo hapo kati yake na yangu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.