Mama wa mwana dada Hamisa Mobeto amethibitisha kuwa nnyumba ambayo amenunuliwa mtoto wa hamisa mabae ni mjukuu wake ni ya mjukuu wake na wala sio ya Hamisa kama watu wanavyotangaza katika mitandao kuwa Hamisa amenunuliwa nyumba.
Katika mitandao ya kijamii kumekuwa na maneno mengi yakisema kuwa mwana dada Hamisa maenunuliwa nyumba na Diamond tena hasa baada ya kuonekana kwa comments katika ukurasa wa hamisa wa instagram akiulizwa na Diamond kama wameipenda nyumba hiyo.
Mama wa Hamisa alisema kuwa pamja na kwamba nyumba imenunuliwa lakini sio ya hamisa ni ya deedaylan na kwamba Diamond anao funguo za nyumba hiyo kwaio muda wowote anaweza kuja katika nyumba hiyo.