Tanasha Dona asema Hamjui Ruge Mutahaba.

Mwanadada Tanasha Dona amefunguka alipokuwa akijibu baadhi ya maoni ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii huku akisema kuwa Ruge hamjui na hajui kama ni wa kike au wa kiume.

Akijibu moja ya maswali aliyokuwa akiulizwa na mashabiki wake kwamba kwanini amekuwa akipost vitu vingine katika mitandao ya kijamii na kusahau kuwa kwa sasa Tanzania iko katika majonzi ya kumpoteza moja ya watu muhimu sana.

Hata hivyo kwa kupanic na hasira, mwanadada huyo aliamua kujibu na kusema “first of all i have no ideas who passed away, my condolences go to his or her family , my he or her rest in peace,,R.I.P.. “

Tanasha Akubali Kuhamia Tanzania Lakini Sio Kubadili Dini.

Mwanadada tanasha dona amefungua alipokuwa akijibu  baadhi ya maoni kutoka kwa mashabiki katika ukurasa wake wa instagram na kusema kuwa kutokana na mipango ya ndoa inayofuata hawezi kukataa kuhamia tanzania kwa sababu kwake kwa sasa ni second home.

TanAsha amabe ana mahusiano ya kimapenzi na msanii diamond platinumz wanatarajia kufunga ndoa mwaka huu muda wowote ingawa ndoa iyo ilikuwa ifungwe febrary 14 lakii ilikuja kuhairishwa na haijatangazwa ni line ten itafungwa.

Hata hivyo, wawili hao wanaonekana kuwa makini na mahusiano yao hata kutambulishana kwa familia zao.

Hata hivyo pamoja na yote, tanasha ni mkriesto huku mwanamuziki diamond platinumz akiwa ni muislamu swafi , swali ambalo wengi wamekuwa wakifikiria uwezekano wa wawili hao kuwa pamoja, hata hivyo tanasha anasema kuwa kuhamia tanzania kwake haiwezi kuwa shida na kwa swala la dini hawezi kubadili.

Tanasha anasema kuwa kila dini imekuwa ikumuamini mungu mmoja hivyo hakuna haja ya kubadili dini zaidi ya kila mmoja kuheshimu dini ya mwingine.