{"id":2818,"date":"2017-07-28T15:12:44","date_gmt":"2017-07-28T12:12:44","guid":{"rendered":"https:\/\/www.ghafla.com\/tz\/?p=2818"},"modified":"2017-07-28T15:12:44","modified_gmt":"2017-07-28T12:12:44","slug":"magufuli-apiga-marufuku-brookside-dairy-kampuni-linalomilikiwa-na-rais-wa-kenya","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/magufuli-apiga-marufuku-brookside-dairy-kampuni-linalomilikiwa-na-rais-wa-kenya\/","title":{"rendered":"Magufuli apiga marufuku Brookside Dairy \u2013 kampuni linalomilikiwa na rais wa Kenya"},"content":{"rendered":"<p>Brookside Dairy ni miongoni mwa kampuni 20 kutoka nchi jirani ya Kenya ambazo zimepigwa marufuku Tanzania siku mbili zilizopita.<\/p>\n<p>Ubishi kati ya Kenya na Tanzania ulianza Aprili 2017 baada ya serikali ya Kenya kupiga marufuku gesi na ngano kutoka Tanzania.<\/p>\n<p>Serikali ya Rais John Magufuli ililipisha kisasi kwa kuweka vikwazo kwa ununuzi wa sigara na bidhaa za maziwa kutoka Kenya.<\/p>\n<p>Hatimaye Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Kenya na Tanzania &#8211; Amina Mohamed na Augustine Mahiga walifanya mazungumzo Nairobi wiki jana na kuamua kutatua mvutano huo.<\/p>\n<figure id=\"attachment_2821\" aria-describedby=\"caption-attachment-2821\" style=\"width: 719px\" class=\"wp-caption alignnone\"><a href=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania.jpg\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" class=\"wp-image-2821 \" src=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania.jpg\" alt=\"\" width=\"719\" height=\"479\" srcset=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania.jpg 1200w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania-300x200.jpg 300w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania-768x512.jpg 768w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania-1024x683.jpg 1024w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/tanzania-690x460.jpg 690w\" sizes=\"auto, (max-width: 719px) 100vw, 719px\" \/><\/a><figcaption id=\"caption-attachment-2821\" class=\"wp-caption-text\">Waziri wa Mambo ya Nje kutoka Kenya na Tanzania &#8211; Amina Mohamed na Augustine Mahiga wakifanya mazungumzo Nairobi<\/figcaption><\/figure>\n<p>Hata hivyo serikali ya Tanzania lilirejea hatua ya awali ya kuweka vikwazo kwa bidhaa kutoka Kenya. Kampuni 20 kutoka Kenya zimepigwa marufuku kufanya biashara Tanzania.<\/p>\n<p>Brookside Dairy, kampuni inayohusishwa na familia ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, ni miongoni mwa kampuni zilizopigwa marufuku.<\/p>\n<figure id=\"attachment_2820\" aria-describedby=\"caption-attachment-2820\" style=\"width: 733px\" class=\"wp-caption alignnone\"><a href=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/UHURU-MAGUFULI-1.jpg\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" class=\"wp-image-2820\" src=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/UHURU-MAGUFULI-1.jpg\" alt=\"\" width=\"733\" height=\"407\" srcset=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/UHURU-MAGUFULI-1.jpg 630w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/07\/UHURU-MAGUFULI-1-300x167.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 733px) 100vw, 733px\" \/><\/a><figcaption id=\"caption-attachment-2820\" class=\"wp-caption-text\">Rais Uhuru Kenyatta na John Pombe Magufuli<\/figcaption><\/figure>\n<p>Rais Magufuli hakupenda jinsi Brookside inaendesha shuguli zake Tanzania tangu achukue mamlaka 2015. Rais Magufuli alilaumu kampuni za Kenya zinazonunua maziwa Kaskazini mwa nchi akisema wafanyabiashara wa Tanzania wanaweza kufanya kazi hiyo. Alisema kampuni za Kenya zinawadhulumu wafugaji wa Tanzania.<\/p>\n<p>Kampuni hiyo &#8211; Brookside Dairy ina matawi matatu Tanzania, moja Arusha, Mwanza na Dar es Salaam.<\/p>\n<p>&nbsp;<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Brookside Dairy ni miongoni mwa kampuni 20 kutoka nchi jirani ya Kenya ambazo zimepigwa marufuku Tanzania siku mbili zilizopita. Ubishi kati ya Kenya na Tanzania ulianza Aprili 2017 baada ya serikali ya Kenya kupiga marufuku gesi na ngano kutoka Tanzania. Serikali ya Rais John Magufuli ililipisha kisasi kwa kuweka vikwazo kwa ununuzi wa sigara na [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":2834,"featured_media":2819,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[2134,218,288],"class_list":["post-2818","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-news","tag-brookside-dairy-news","tag-john-magufuli-news","tag-uhuru-kenyatta-news"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2818","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2834"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=2818"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2818\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":2822,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/2818\/revisions\/2822"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media\/2819"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=2818"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=2818"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=2818"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}