{"id":315,"date":"2017-03-28T14:46:24","date_gmt":"2017-03-28T14:46:24","guid":{"rendered":"https:\/\/www.ghafla.com\/tz\/?p=315"},"modified":"2017-09-13T01:02:37","modified_gmt":"2017-09-12T22:02:37","slug":"nape-moses-aandika-ujumbe-huu-baada-ya-nay-wa-mitego-kuachiliwa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/nape-moses-aandika-ujumbe-huu-baada-ya-nay-wa-mitego-kuachiliwa\/","title":{"rendered":"Nape Moses aandika ujumbe huu baada ya Nay wa Mitego kuachiliwa"},"content":{"rendered":"<p>Nay Wa Mitego sasa hivi yuko huru baada ya kuachiliwa siku kadhaa baada ya kushikwa na serikali ya Magufuli. Mashabiki wake walikuwa mkondo wa kwanza kumkaribisha msanii huyu na pia alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses naye pia aliandika ujumbe wake kupitia account yake ya Twitter.<\/p>\n<p><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" class=\"aligncenter size-full wp-image-317\" src=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/Ney.jpg\" alt=\"\" width=\"624\" height=\"468\" srcset=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/Ney.jpg 624w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/Ney-300x225.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 624px) 100vw, 624px\" \/><\/p>\n<p>Nape Moses aliandika ujumbe wenye ulisihi viongozi kutumia busara na siyo nguvu katika kufanya maamuzi wakati wanapomuona mtu amefanya kosa ilikurahisisha kumkosoa.<\/p>\n<p>Aliambatanisha picha ya Nay wa mitego alipoandika ujumbe huo kuonyesha kuwa hakufurahishwa na kitendo ambacho walichomfanyia mwanamziki huyu.<\/p>\n<p><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" class=\"aligncenter size-full wp-image-318\" src=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/nape.png\" alt=\"\" width=\"690\" height=\"494\" srcset=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/nape.png 690w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/03\/nape-300x215.png 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 690px) 100vw, 690px\" \/><\/p>\n<p>Ata hivyo wanamziki wengi walisita kuandika kitu chochote kupitia mitandao yao ya kijamii huku wakihofia kukamatwa. Huu umekuwa kama mtindo ambao serekali ya Magufuli imeanza kuiga na wengi wanonelea kuwa wamekosa busara na kuwafanya wengi kuogopa.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Nay Wa Mitego sasa hivi yuko huru baada ya kuachiliwa siku kadhaa baada ya kushikwa na serikali ya Magufuli. Mashabiki wake walikuwa mkondo wa kwanza kumkaribisha msanii huyu na pia alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses naye pia aliandika ujumbe wake kupitia account yake ya Twitter. Nape Moses aliandika ujumbe wenye [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":6017,"featured_media":316,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[9],"tags":[22,99,98],"class_list":["post-315","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-news","tag-ghafla-tanzania","tag-nape-moses","tag-nay-wa-mitego"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/315","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/users\/6017"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=315"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/315\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":319,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/315\/revisions\/319"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media\/316"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=315"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=315"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=315"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}