{"id":844,"date":"2017-04-20T15:38:28","date_gmt":"2017-04-20T12:38:28","guid":{"rendered":"https:\/\/www.ghafla.com\/tz\/?p=844"},"modified":"2017-04-20T15:38:28","modified_gmt":"2017-04-20T12:38:28","slug":"ray-c-hatimaye-ampa-jibu-msanii-kutoka-kenya-ringtone-aliyetaka-kumoa","status":"publish","type":"post","link":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/ray-c-hatimaye-ampa-jibu-msanii-kutoka-kenya-ringtone-aliyetaka-kumoa\/","title":{"rendered":"Ray C hatimaye ampa jibu msanii kutoka Kenya \u2013 Ringtone aliyetaka kumoa"},"content":{"rendered":"<p>Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Kenya \u2013 Ringtone alitoa pendekezo akitaka Rehema Chalamila maarufu kama Ray C afunge naye ndoa.<\/p>\n<p>Hii ilikua mwaka jana na Ray C hata hakumpa jibu. Ringtone ni msanii maarufu sana Kenya, amewahi fanya collabo ya nguvu na Christina Shusho. Wimbo wao \u2018Tenda Mema\u2019 bado ni hit kubwa sana.<\/p>\n<p>Ringtone pia anadai kuwa msanii wa nyimbo za Injili mwenye utajiri mkubwa nchini Kenya. Ako na magari za kifahari na nyumba kubwa jijini Nairobi.<\/p>\n<p>Ray C sasa amempa Ringtone jibu baada ya muda huo wote; akiongea na Mzazi Willy Tuva kenye kipindi cha Mambo Mseto ya Radio Citizen, Ray C alisema hawezi kubali Ringtone amuoe.<\/p>\n<figure id=\"attachment_845\" aria-describedby=\"caption-attachment-845\" style=\"width: 599px\" class=\"wp-caption alignnone\"><a href=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/04\/Ringtone-na-Ray-C.jpg\"><img loading=\"lazy\" decoding=\"async\" class=\"wp-image-845 size-full\" src=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/04\/Ringtone-na-Ray-C.jpg\" alt=\"Ray C na Ringtone \" width=\"599\" height=\"599\" srcset=\"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/04\/Ringtone-na-Ray-C.jpg 599w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/04\/Ringtone-na-Ray-C-150x150.jpg 150w, https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-content\/uploads\/sites\/3\/2017\/04\/Ringtone-na-Ray-C-300x300.jpg 300w\" sizes=\"auto, (max-width: 599px) 100vw, 599px\" \/><\/a><figcaption id=\"caption-attachment-845\" class=\"wp-caption-text\">Ray C na Ringtone<\/figcaption><\/figure>\n<p>Mrembo huyo alikiri kuskia pendekezo la Ringtone kwenye mitendao lakini hakutaka kuongelea jambo hilo kwasababu hana haja nalo.<\/p>\n<p>&#8220;Nilisoma hizo taarifa Kwa mitandao, namjua tu kama msanii kwanza wa Gospel, kwa hiyo nilishangaa sana ila ni mtu mzuri sana napenda anavyoshirikiana na wasanii wa Gospel wa Tanzania, ila hio haipo Kwenye ratiba yangu though,&#8221; Ray C alisema.<\/p>\n<p>Ray C aliambia Mzazi Willy Tuva kuwa anampenda rais wa Kenya Uhuru Kenyatta and anaomba kukutana naye atakapoenda Kenya hivi karibuni.<\/p>\n","protected":false},"excerpt":{"rendered":"<p>Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Kenya \u2013 Ringtone alitoa pendekezo akitaka Rehema Chalamila maarufu kama Ray C afunge naye ndoa. Hii ilikua mwaka jana na Ray C hata hakumpa jibu. Ringtone ni msanii maarufu sana Kenya, amewahi fanya collabo ya nguvu na Christina Shusho. Wimbo wao \u2018Tenda Mema\u2019 bado ni hit kubwa sana. Ringtone [&hellip;]<\/p>\n","protected":false},"author":2834,"featured_media":846,"comment_status":"open","ping_status":"closed","sticky":false,"template":"","format":"standard","meta":{"footnotes":""},"categories":[3],"tags":[24,226],"class_list":["post-844","post","type-post","status-publish","format-standard","has-post-thumbnail","hentry","category-music","tag-ray-c-news","tag-ringtone-news"],"_links":{"self":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/844","targetHints":{"allow":["GET"]}}],"collection":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts"}],"about":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/types\/post"}],"author":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/users\/2834"}],"replies":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/comments?post=844"}],"version-history":[{"count":1,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/844\/revisions"}],"predecessor-version":[{"id":847,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/posts\/844\/revisions\/847"}],"wp:featuredmedia":[{"embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media\/846"}],"wp:attachment":[{"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/media?parent=844"}],"wp:term":[{"taxonomy":"category","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/categories?post=844"},{"taxonomy":"post_tag","embeddable":true,"href":"https:\/\/www.ghafla.co.ke\/tz\/wp-json\/wp\/v2\/tags?post=844"}],"curies":[{"name":"wp","href":"https:\/\/api.w.org\/{rel}","templated":true}]}}