Uwoya Atangaza Mauaji Mahusiano Yake Yajayo

Mwanadada Irene Uwoya ametangaza kuwa kwa mahusiano yake yanayokuja baada ya yale yaliyokufa lati yake na Dogo Janja ni lazima kuna mambo mawili yanaweza kufanyika katikati yaani  kuolewa kabisa au kuua.

mwanadada irene anasema kuwa kwa sasa ameshachoshwa na mahusiano yasiyokuwa na tija kabisa hivyo anaona kuwa kama anataka kuingia katika mahusiano kwa sasa inaweza kumfanya kufunga ndoa na kutulia kabisa au kuamua kuua kwa sababu tu yanaweza kuwa yameshinda.

katika ukurasa wake wa instagram, Irene aliandika “My next relationship will either lead to marriage or  my first murder  beacause am tired.”

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.