Uwoya Athibitisha Mapenzi kwa Alikiba

Mwanadada irene uwoya amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba hakuwahi kuwa karibu na msanii alikiba lakini mara zote amekuwa akitamani sana kuwa karibu na msanii huyo kwa sababu ndio msanii anaemkublai tanzania.

Irene ambae alionekana katika funga mwaka na king kiba anasema kuwa mara zote amekuwa akipenda sana nyimbo za alikiba na jinsi anavyo-perfom jukwaani  na ndio maana ameshindwa kuacha kwenda katika party hiyo.

Mwanadada huyo alisema “Alikiba ni mtu ninae mkublai sana, ninampenda na ia nina enda nyimbo zake na ndio maana leo niko hapa

Irene anasema pia kuna kuwa pub yake ambayo ilitakiwa kufunguyliwa decemba 23 ilishindika kwa sababu kuna baadhi ya mambo hayakuwa yamekamilika.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.