Uzinduzi wa Filamu ya Mama(+picha)

Taher 13 May mwaka huu Aunty Ezekiel aliamua kuweka historia katika maisha yake baada ya kufanya uzinduzi wa filamu yake mpya inayojulikana kwa jina la mama huku mhusika mkuu akiwa ni aunty ezekiel pamoja na mtotowake mdogo wa kike Cookie Iyobo.

Aunty ezekiel akiwa na Nice chande

 

 

 

Zamaradi Mketema akiongea na waandishi wa habari

 

Diamond platinumz alikuwepo kutoa sapoti yake.

 

 aunty ezekiel akiwa na cookie pamoja na mume wake moze iyobo.

 

moze iyobo akiwa na mtoto wake cookie ambae ni mhusika mkuu katika filamu hiyo.

Diamond akiwa pamoja na mama yake mzazi 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.