Vannesa Awapigia Magoti Mashabiki

Mwanadada vanesa mdee amefunguka na kuwaomba mashabiki zake kumpigia kura katika tuzo anazowanua mabapo yeye peeee yake amejikuta akiteuliwa katika vipengele sita tofauti  katika tuzo za hi  pipo music awards nchini uganda,

akiwa kama moja ya wasanii wa kike wakubwa na wanafanya vizuri afrika , Vanesa amekuwa mstari wa mbele kuwakilisha wanawake wengine wasanii tazania kwa kufanya vizuri na kuwa na collabo nyingi sana afrika.

Tuzo hizo zinatarajiwa kutolea mwezi March 16 mwaka huu , huku msanii huyo akiwa na vipengele vingi vya kuwania na wasanii wengine kutoka nchi mbalimbali.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.