Vannesa Awatolea Povu Trace Music

Mwanadada Vannesa Mdee amefunguka na kusema kuwa kituo cha televisheni cha  Trace Music nchini kenya kimekuwa na upendeleo wa  kuchagua kuwasapoti badhi ya wasani wakubwa tu na kuwaacha wengine wakiwa wanalanda landa.

Haijafamika kwanini vanesa ameamua kusema hivyo au kua nini ameona kwa wasanii na kituo icho mpaka amefikia hatua ya kusema hivyo.

Kupitia ukurasa wake wa twitter, Vannesa Mdee aliongea maneno haya ” wacha tu nisme kuwa tracemuziki imekuwa station flani ya muziki yenye upendeleo,  kwa wasani kadhaa wa muziki wa muda mrefu.kuna ule upendeleo ya kuficha na kuna ule wa live bila  chenga.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.