Wadukuzi Wamliza Aika wa Navy Kenzo

Mwanadada kutoka katika kundi la Navy kenzo, Aikah amejikuta analizwa na wadukuzi wa mitandao baada ya akaunti yake ya instagram kuibiwa na wabbobezi wa mambo na kumfanya ashindwe kuwa na access na akaunti hiyo kwa zaidi ya masaa sasa.

Hata hivyo mwanadada huyo ameomba mashabiki zake kuwa na subira ili aweze kulishughulikia swala hilo huku akiwataka wasije kudanganywa na kujikuta wakitapeliwa kupitia jina  lake.

Swala la wasanii kuibiwa kaunti zao katika mtandao wa instagram imekuwa swala la kawaida huku ikishndikana kupatiwa ufumbuzi wa haraka kwa sababu msanii na kosa baadhi ya mambo hasa anapokuwa anashindwa kuwa karibu na akaunti hiyo kwa muda

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.